Peugeuot
Monday, November 23, 2009
Friday, August 7, 2009
Magari ya Peugeot


Nakumbuka nilipokuwa mdogo, baba yangu alikuwa na pickup ya Peugeout, wakati huo tulikuwa tunayaita Pijo. Hayo magari yalikuwa maarufu sana na yalikuwa yanafanya kazi nyingi sana, kama magari ya kawaida ya nyumbani, kubebea mizigo na hata kama taxi. Baadae miaka ya 1980 magari hayo yalivuma sana sifa, zilipoingizwa Tanzania kwa wingi Peugeout 504 ambazo zilijulikana kama Guruwe. Nimepata fursa ya kupiga picha baadhi ya Peugeot za zamani:
Label ya kutoka Tanzania
Juzi nilipitia kwenye duka la Lidl kutafuta bidhaa mbalimbali, zikiwemo na chakula. Katika kupitia mashelf mbalimbali nikaona hii T shirt yenye label ya Serengeti. Nikafurahi kuona jina la nyumbani, na nikahisi labda imetoka kwetu nyumbani . Kuichunguza kwa karibu nikaona kuwa imetengenezwa Ujerumani. Sijui sana mambo ya kisheria, hivyo nikabaki nimeduwaa, je ni vipi hawa jamaa kutumia majina yetu, ni sawa?
Monday, October 27, 2008
Sunday, June 1, 2008
SUMMER IMEINGIA
Summer (kipindi cha joto) imeanza na kama ilivyo kawaida ya huku, ni wakati wa kufurahia maisha ya nje baada ya kipindi kirefu cha baridi, ambacho inabidi kwa wakati mwingi, watu wakae ndani. Hivyo basi wakati wa joto shughuli nyingi hufanywa nje na kuendelea kwa muda mrefu kwa kuwa jua halizami katika kipindi hiki.
Hapo chini ni katika Grill Party aliyoifanya Menard Mponda na kuwaalika rafiki zake, wa Tanzania na kutoka nchi zingine mbalimbali.








Hapo chini ni katika Grill Party aliyoifanya Menard Mponda na kuwaalika rafiki zake, wa Tanzania na kutoka nchi zingine mbalimbali.
Sunday, March 23, 2008
EASTER
Saturday, February 23, 2008
JAMBO FORUMS IMERUDI...KWA NGUVU
NAPENDA KUWAFAHAMISHA KUWA JAMBO FORUMS IMERUDI MTANDAONI! UKITAKA KWENDA HUKO ANGALIA LINK ZILIAOPO KUSHOTO MWA UKURASA HUU AU BOFYA HAPA.
Monday, February 11, 2008
FEST AFRICA 2008
DEAR FRIENDS
FEST AFRIKA PRESENTS AN AFRICAN WINTER JAM FESTIVAL. SPICED WITH LOTS OF HAPPENINGS AND GREAT LIVE EVENTS. ATTACHED BELOW IS THE PROGRAMME, PLEASE GO THROUGH IT. COME ONE COME ALL. TICKETS ON SALE IN ADVANCE (check below), PLEASE HURRY AND DON'T MISS A CHANCE TO PARTICIPATE IN THE BEST AFRICAN EVENT OF THE YEAR. PLEASE FORWARD TO FRIENDS.
FEST AFRIKA PRESENTS AN AFRICAN WINTER JAM FESTIVAL. SPICED WITH LOTS OF HAPPENINGS AND GREAT LIVE EVENTS. ATTACHED BELOW IS THE PROGRAMME, PLEASE GO THROUGH IT. COME ONE COME ALL. TICKETS ON SALE IN ADVANCE (check below), PLEASE HURRY AND DON'T MISS A CHANCE TO PARTICIPATE IN THE BEST AFRICAN EVENT OF THE YEAR. PLEASE FORWARD TO FRIENDS.
DATE : SATURDAY 23.02.2008
TIME : 20-04:00
PLACE: KLUBI-TAMPERE-FINLAND
SUPPORTING ARTISTS :-
.PAPA ZAI-FROM ZAMBIA - ROOTS REGGAE SOUND SYSTEAM.
.CHEZA NGOMA - Fin -Tanzania-Afro dance.
.SAMBA GIRLS -Fin-Oba oba.
.OCG-Tanzania RnB and HipHop.
.MPONDA´S-Singing, drumming and body movements.
MAIN BAND
.PABLOMACHINE and THE TANGANYIKA SOUND- From Tanzania & Burundi (based in Sweden)
Plays Ndombolo, Afro-Rumba, Soukous, Afro-Beats & much more
DJs CLIFF (dj hakuna matata)
Fidelis- Sweden
Mambo Team
TICKETS 10€ Advance at Klubi, Epe´s and Swamp Music;
15€ at the door
Links:
www.festafrika.net
www.pablomachine.podomatic.com
www.bredband.net
www.chezangoma.net
Subscribe to:
Posts (Atom)






